Wednesday 8 April 2015

BARCELONA LEGENDS NDANI YA BONGO, KUWAVAA LEGENDS WA TANZANIA WEEKEND HII

Mchezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona
Patrick Kluivert akiwaongoza wachezaji wenzake akiwepo Simao Sabrosa
muda mfupi mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa
wa Kilimanjaro (KIA)
Wachezaji wa Barcelona wakielekea upande wa
watu mashuhuri katika uwanja wa ndege wa Kiamtaifa wa Kilimanjaro
(KIA)
Mchezaji Luis Garcia(kulia) akiwasili katika
uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro .kushoto ni mratibu wa
safari ya wachezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona Royco
Garcia.
Wachezaji wa zamamni wa klabu ya Barcelona
wakijadiliana jambo katika uwanja wa ndege wa Kilimanjaro muda mfupi
mara baada ya kuwasili na ndege ya shirika la ndege la
KLM.
Simao Sabrosa mchezaji wa zamani wa klabu ya
Barceona akiwa katika eneo la mapumziko katika uwanja wa ndege wa
kimataifa wa Kilimanjaro.
Mchezaji Patrick Kluivert akizingumza kwa
simu muda mfupi mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa
kimataifa wa Kilimanjaro KIA jana usiku .
Meneja maendeleo wa KiboPalace Hotel
,Charity Githinji akiteta jambo na wachezaji wa zamani wa klabu ya
Barcelona walioanza kuwasili nchini kwa ajili ya mchezo wa kirafiki
dhidi ya wachezaji wa zamani wa Tanzania. SOURCE; Shaffih Dauda blog.
   

No comments:

Post a Comment