Wednesday 29 April 2015

Tanzania yaomba uenyeji CAF U17

TFF kwa kushirikiana na serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo imeomba kuwa mwenyeji wa michuano ya Afrika chini ya umri wa miaka 17 (U17) kwa mwaka 2019
TFF kwa kushirikiana na serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo imeomba kuwa mwenyeji wa michuano ya Afrika chini ya umri wa miaka 17 (U17) Goal inafahamu
RAIS wa Shirikisho la soka Tanzania (TFF) Jamal Malinzi alithibitisha hilo alipokua akifungua semina ya makocha wakufunzi inayoanza leo Aprili 27 na kumalizika Mei 2 2015, ufunguzi huo umefanyika kwenye ofisi za TFF zilizopo Ilala jijini Dar es Salaam.
Goal ilikuwepo wakati wa ufunguzi huo na Rais Malinzi amezungumzia mipango ya muda mrefu ya TFF katika kuhakikisha soka la Tanzania linasonga mbele na kuendana na ushindani uliopo toka kwenye nchi ambazo tayari zimepiga hatua kwenye soka la Afrika na Dunia kwa ujumla.

Yanga kukabidhiwa kombe mbele ya Azam

KLABU ya Yanga inatarajiwa kukabidhiwa kombe lake la ubingwa wa Ligi ya Vodacom Tanzania bara Mei 6 kwenye uwanja wa taifa Dar es Salaam
KLABU ya Yanga inatarajiwa kukabidhiwa kombe lake la ubingwa wa Ligi ya Vodacom Tanzania bara Mei 6 kwenye uwanja wa taifa Dar es Salaam baada ya kumalizika pambano kati yao na waliokuwa mabingwa watetezi Azam FC.
Waziri wa michezo Dr Fennela Mkangara ndiye atakaye kabidhi kombe hilo la 25 kwa mabingwao hao wa Kihistoria baada ya jana jumatatu kuifunga Polisi Moro mabao 4-1, na kufikisha pointi 55 ambazo hazitaweza kufikiwa na timu nyingine inayoshiriki ligi hiyo msimu huu.
Rais wa Shirikisho la soka Tanzania TFF, Jamal Malinzi ameiambia Goal siku hiyo itakuwa rasmi kukabidhi baadhi ya zawadi kwa washindi wa ligi hiyo na ndiyo sababu wakamteuwa waziri kuwa mgeni rasmi.
“Kwanza nampongeza Mwenyekiti wa klabu ya, Yusuf Manji kwa timu yake kutwaa Ubingwa wa Ligi ya Vodacom msimu wa 2014/2015 , kwasababusiyo kazi nyepesi na jambo muhimu sasa wanapaswa kuanza maaandalizi kwa ajili ya michuano ya kimataifa barani Afrika mwakani.

BARCELONA BEAT GETAFE 6-0, MESSI, NEYMAR & SUAREZ NOW HIT OVER 100 GOALS TOGETHER

Lionel Messi, Luis Suarez and Neymar took their combined seasonal tally to over 100 goals as Barcelona piled the pressure on title rivals Real Madrid by thrashing Getafe at the Nou Camp.
The visitors fell behind early on to Messi's cheeky chipped penalty.
Suarez's volley, a precise finish from Neymar and Xavi's curler - in the space of five minutes - put Barca in command.
Suarez thumped home to make it 5-0 at half-time, before Messi's dink as Barca moved five points clear in La Liga.
Second-placed Madrid have the opportunity to reduce that deficit back to two points - with four matches left - when they host relegation-threatened Almeria at the Bernabeu on Wednesday.

Spanish title race - remaining fixtures

Barcelona
Real Madrid
29 April
-
Almeria (H)
2 May
Cordoba (A)
Sevilla (A)
9 May
Real Sociedad (H)
Valencia (H)
16/17 May
Atletico Madrid (A)
Espanyol (A)
23/24 May
Deportivo (H)
Getafe (H)
Barcelona's comfortable victory against mid-table Getafe stretched their unbeaten run to 15 matches, winning 14 and drawing one, in all competitions.
And the Catalan club, who are also in the Champions League semi-finals and Copa del Rey final, know if they can manage to win their last four La Liga matches then they will regain the title from last season's surprise winners Atletico Madrid.
However, even one draw could be enough to hand the trophy to arch-rivals Real, who would win their first Liga since 2012 if the teams finish level on points.
Spanish teams who finish level on points are separated by their head-to-head record - not goal difference - and Madrid have the superior record this season.
Carlo Ancelotti's side won 3-1 at the Bernabeu in October while Barca triumphed 2-1 at the Nou Camp last month.
Barcelona

Bayern Munich missed all four of their penalties as Borussia Dortmund reached the German Cup final after a shootout.

"That was a hell of a game," said Klopp. "Both teams gave everything and Bayern were certainly superior in the first half, but we more than deserved to equalise in the second. Today was our day."
Phillip Lahm slips
Phillip Lahm slipped and missed Bayern's first penalty
Xabi Alonso
Bayern midfielder Xabi Alonso also slipped at the crucial moment - straight after Lahm
Manuel Neuer misses a penalty
Bayern goalkeeper Manuel Neuer missed his side's fourth penalty as Dortmund progressed
Borussia Dortmund celebrate
Klopp will now have a chance to win the German Cup for a second time with Dortmund in his last match in charge

Monday 27 April 2015

CHELSEA EDGING CLOSER TO BE CHAMPIONS AS THEY DRAW AT ARSENAL


David Ospina challenges Oscar
Oscar started as Chelsea's most advanced player in the absence of any recognised strikers
Chelsea forward Oscar
Brazilian international Oscar was replaced by Didier Drogba at the break following a collision with David Ospina
Cesc Fabregas is booked
Chelsea's Cesc Fabregas was booked for diving on his return to his former club

Match Report: Azam FC 4-0 Stand United, Mabingwa wazidi kuwafukuzia Yanga

Ushindi huo unaifanya Azam kufikisho pointi 45 na na kuendelea kujiwekea uhakika wa kumaliza nafasi ya pili msimu huu ili iweze kushiriki michuano ya kombe la Shirikisho mwakani
MAMBO yameonekana kumwendea sawa kocha wa muda wa Azam FC, Mganda George Nsimbe ‘Best’ baada ya leo kuiongoza timu hiyo kupata ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya Stand United kwenye mchezo wa Ligi ya Vodacom iliyofanyika uwanja wa Azam Complex Chamazi.
Matokeo hayo yamerudisha matumaini ya kocha Nsimbe kuendelea kubaki kwenye timu hiyo msimu ujao kwa kua inahitaji kushinda mchezo ujao ili kujihakikishia nafasi hiyo na kupoteza matumaini ya Simba kushiriki michuano ya kimataifa mwaka 2016.
Ushindi huo unaifanya Azam kufikisho pointi 45 na na kuendelea kujiwekea uhakika wa kumaliza nafasi ya pili msimu huu ili iweze kushiriki michuano ya kombe la Shirikisho mwakani.
Winga machachari raia wa Uganda Brian Majwega, alianza kuifungia Azam bao la kuongoza dakika ya 14 akiunganisha krosi ya Salum Abubakar.
Stand United ambayo Jumanne iliyopita iliitoa jasho Yanga licha ya kufungwa mabao 3-2 leo ilikuwa imepoteza kabisa mwelekeo na kucheza bila mpangilio huku mshambuliaji wake tegemezi raia wa Nigeria Abaslim Chidiabele akishindwa kufurukuta mbele ya Pascal Wawa wa Azam.
Mshambuliaji Gaudence Mwaikimba wa Azam aliifungia timu yake bao la pili dakika ya 37, akitumia vyema pasi ya Salum Abubakari tena na hilo kuwa bao la kwanza kwa Mwaikimba tangu kuanza kwa msimu huu.

Apr 25, 2015 22:03:00 Kwa ushindi huo Simba imeendelea kubaki nafasi ya tatu ikifikisha pointi 41 huku Yanga ikibaki kileleni kwa pointi zake 52 na Azam nafasi ya pili na pointi 45 SIMBA leo imeendelea kuwapa raha mashabiki wake baada ya kupata ushindi wa pili mfululizo kwa kuifunga Ndanda FC, ya Mtwara mabao 3-0. Ushindi huo umeifanya Simba kuungana na Azam FC, kupigania kumaliza nafasi ya pili msimu huu ili moja wapo iungane na Yanga kwenye kuiwakilisha Tanzania kwenye michuano ya kimataifa 2016. Kwa ushindi huo Simba imeendelea kubaki nafasi ya tatu ikifikisha pointi 41 huku Yanga ikibaki kileleni kwa pointi zake 52 na Azam nafasi ya pili na pointi 45. Ikicheza mbele ya mashabiki wake wacheche waliojitokeza leo kuishangilia Simba ilianza kuhesabu bao lake kwa kwanza dakika ya tisa lililofungwa kwa shuti la mbali na kiungo Jonas Mkude. Kuinhia kwa bao hilo kulionekana kuwaongezea kasi vijana wa kocha Goran Kopunovic na dakika ya 10 mshambuliaji hatari wa Simba Emmanuel Okwi aliangushwa ndani ya eneo la hatari na kuwa penalty ambayo Ibrahim Ajibu alikosa kwa shuti lake kupaa juu. Ramadhani Singano alisawazisha makosa ya Ajibu dakika ya 15, baada ya kufunga bao la pili akitumia makosa ya kipa wa Ndanda FC Salehe Malande, aliyekuwa akiuchezea mpira kwenye eneo la hatari na kuanguka chini na mfungaji kufunga kirahisi. Ndanda FC inayoshika nafasi ya 13 kwenye msimamo wa ligi ikiwa na pointi 25 ilijitahidi kutaka kupata angalau bao moja baada ya dakika ya 19 Kigi Makasi, kupiga mpira wa faul ambao ulipanguliwa kiufundi na kipa Ivo Mapunda na kuwa kona ambayo haikuwa na matunda. Jitihada za wachezaji wa Ndanda FC kutaka kwenda mapumziko walau na bao moja ziliingia dosari dakika ya 21 baada ya kiungo Said Ndemla kuifungia Simba bao la tatu kwa shuti kali akiunganisha krosi ya Ramadhani Singano. Kipindi cha pili, Ndanda FC ilicheza vizuri zaidi na kufanya mashambulizi ya nguvu langoni mwa wapinzani wao na kupata bao lililofungwa na Stamili Mbonde katika dakika ya 50, lakini mwamuzi Kingstone Liza, alilikataa kwa sababu mfungaji alikuwa ameotea. Mshambuliaji wa Ndanda FC Gideon Benson alifanya na kuonyesha kiwango cha juu kutokana na kuwasumbua mabeki wa Simba lakini alikosa msaada baada ya Kigi Makasi kurudi kucheza nyuma. Kocha Goran Kopunovic amefuraishwa na matokeo hayo na kusema wataendelea kupambana kupata pointi sita katika mechi zao mbili zilizo baki na siku ya mwisho watajua wapo nafasi gani.




Kwa ushindi huo Simba imeendelea kubaki nafasi ya tatu ikifikisha pointi 41 huku Yanga ikibaki kileleni kwa pointi zake 52 na Azam nafasi ya pili na pointi 45
SIMBA leo imeendelea kuwapa raha mashabiki wake baada ya kupata ushindi wa pili mfululizo kwa kuifunga Ndanda FC, ya Mtwara mabao 3-0.
Ushindi huo umeifanya Simba kuungana na Azam FC, kupigania kumaliza nafasi ya pili msimu huu ili moja wapo iungane na Yanga kwenye kuiwakilisha Tanzania kwenye michuano ya kimataifa 2016.
Kwa ushindi huo Simba imeendelea kubaki nafasi ya tatu ikifikisha pointi 41 huku Yanga ikibaki kileleni kwa pointi zake 52 na Azam nafasi ya pili na pointi 45.
Ikicheza mbele ya mashabiki wake wacheche waliojitokeza leo kuishangilia Simba ilianza kuhesabu bao lake kwa kwanza dakika ya tisa lililofungwa kwa shuti la mbali na kiungo Jonas Mkude.
Kuinhia kwa bao hilo kulionekana kuwaongezea kasi vijana wa kocha Goran Kopunovic na dakika ya 10 mshambuliaji hatari wa Simba Emmanuel Okwi aliangushwa ndani ya eneo la hatari na kuwa penalty ambayo Ibrahim Ajibu alikosa kwa shuti lake kupaa juu.
Ramadhani Singano alisawazisha makosa ya Ajibu dakika ya 15, baada ya kufunga bao la pili akitumia makosa ya kipa wa Ndanda FC Salehe Malande, aliyekuwa akiuchezea mpira kwenye eneo la hatari na kuanguka chini na mfungaji kufunga kirahisi.

'Boring is 10 years without the title' - Mourinho hits out at Arsenal boo-boys

The crowd at the Emirates Stadium chanted "boring, boring Chelsea" late in the two sides' 0-0 stalemate on Sunday but the Portuguese takes a swipe at his opposite number
Chelsea manager Jose Mourinho hit out after his side were booed off by Arsenal supporters following Sunday's 0-0 stalemate at the Emirates Stadium.

The Blues saw out their game plan perfectly in securing the draw that they needed to maintain a 10-point gap from their London rivals and take what captain John Terry described as a "big step" towards the title.

But Arsenal supporters let their feelings be known towards the end of the match, chanting "boring, boring Chelsea" as the game petered out.

Mourinho, however, responded in typically defiant fashion after the game.

Referring to the Gunners' failure to win the league title since 2004, he told reporters: "I think boring is 10 years without the title. I think waiting, waiting, waiting for the title for 10 years is very boring.

"Maybe they were not singing to us. When you are playing at home and take your No.9 off ... maybe they wanted to see [Olivier] Giroud and [Danny] Welbeck together.

"The boring team has scored the second most goals in the Premier League and has the best goal difference.

"I think only top teams can be top of the league since day one."

MANCHESTER UNITED BEATEN 3-0 BY EVERTON

"I think we've learned huge lessons and maturity over the campaign but I don't think the players have had the credit they deserve."
James McCarthy
James McCarthy's goal was his third for Everton
Kevin Mirallas scores Everton's third
Kevin Mirallas scored and also stung David De Gea's palms with a fierce shot
Radamel Falcao
Radamel Falcao had the ball in the net but had strayed offside
Wayne Rooney
Wayne Rooney was restored to a central striking role
Minute's silence at Goodison
A minute's silence was held at Goodison to mark the death of former Everton chairman Sir Philip Carter

I love playing for 'best club in the world' Real Madrid - Chicharito

The attacker has started only three league games this season but he says he is happy at the Santiago Bernabeu after firing his side to two vital wins within a week
Javier 'Chicharito' Hernandez says he is enjoying life at Real Madrid, despite being a bit-part player for much of the campaign.

The striker joined the Champions League holders on loan from Manchester United last summer but has been limited to just three starts in La Liga.

However, the 26-year-old scored vital goals to fire Madrid to two wins within a week, netting late on on to make the difference in their Champions League quarter-final second leg clash with Atletico Madrid before firing home a double in Sunday's 4-2 win over Celta Vigo.

Despite his minimal role in the Blancos team, the Mexico international says he is happy at the Santiago Bernabeu as question marks remain over his long-term future.

"I'm playing for Real Madrid, and I enjoy it," he told reporters. "I thank God that I am enjoying today.

"I'll play where God wants. I'm living for today.

"I do not know if I'll be here a year or more. I'm focused on playing as many minutes as I can for the best club in the world.

"In the bad times, there were people who supported me, who told me to have faith that my chance would come. This match gives me confidence, I love playing football and I still enjoy it, wherever it is."

Chicharito's team-mate Marcelo was also full of praise for the attacker.

"Chicharito is a guy who works hard. He has been patient all year and he finally obtained the reward he was seeking," he said.

Chelsea's Eden Hazard named PFA Player of the Year, Harry Kane won Young Player Of the Year, De Gea on Teans Of The Year

Eden Hazard has won the Professional Footballers' Association Player of the Year award.
Hazard, 24, has scored 13 goals and made eight assists in 33 Premier League games to help leaders Chelsea move to the cusp of the title.
The award was voted for by the Belgian midfielder's fellow professionals.
Tottenham Hotspur's Harry Kane, 21, was named PFA Young Player of the Year, while Chelsea midfielder Ji So-Yun took the Women's Player of the Year award. 

Young Player of the Year - Harry Kane

Tottenham striker Harry Kane
Harry Kane has scored 30 goals in all competitions this season
The 21-year-old was voted Young Player of the Year despite only beginning to feature regularly for the White Hart Lane club in November.
Kane has 30 goals in all competitions for Mauricio Pochettino's side this season and also scored on his England debut against Lithuania in March.
"It is amazing. It is a very proud moment for myself and my family - hopefully the first of many to come," said Kane about his award.
"I have got to keep working hard, but to be recognised by your fellow players is something special and it is a night I won't forget.
"I got the opportunity with the gaffer and I have really enjoyed my season so far - I have taken my chance."

Teams of the Year

PFA Team of the Year
Six Chelsea players are in the PFA Premier League Team of the Year.
Defenders Branislav Ivanovic, John Terry and Gary Cahill are joined by midfielders Nemanja Matic and Eden Hazard plus striker Diego Costa.
Southampton full-back Ryan Bertrand and Spurs striker Kane are also in a team voted for by top-flight players.
Manchester United goalkeeper David De Gea, Liverpool's Philippe Coutinho and Alexis Sanchez of Arsenal also figure.
Lucy Bronze, 23, is the only player from Liverpool's championship-winning side to be selected in the Women's Super League Team of the Year.
Striker Troy Deeney, 26, is the only member of promoted Watford's side in a Championship Team of the Year that features players from nine different clubs.
Five players from champions Bristol City are selected for the League One Team of the Year.
The League Two select XI features players from Portsmouth, Plymouth, Southend, Bury, Luton, Exeter and Shrewsbury.

PFA Merit award - Steven Gerrard and Frank Lampard

Frank Lampard and Steven Gerrard
Frank Lampard and Steven Gerrard are both heading for the MLS
Former England midfielders Steven Gerrard, 34, and Frank Lampard, 36, shared the PFA Merit award.
The veteran pair will leave the Premier League for Major League Soccer in the United States in the summer, having collected 220 England caps between them.
"I'm a young boy from a council estate who has worked ever so hard to get to where I am today," said Gerrard, who will bring his 17-year career at Anfield to an end this summer when he joins Los Angeles Galaxy.
"I have been lucky, I have had a fantastic career, it has been full of highs and lows but some of the highs I have achieved have blown me away and I achieved a lot of my dreams playing for Liverpool and England.
"Frank is an unbelievable player, a world-class player and I couldn't ask for anyone better to share it with."
Lampard, on-loan at Manchester City from New York City FC, added: "I have been fortunate enough to have had a long time playing in the Premier League along with Steven.
"It is a great honour to be alongside a player who himself has done so much for the game. For the two of us to get it, it is a nice send-off and a nice ending for me."

Bayern Munich: Pep Guardiola's side win club's 25th German title

Bayern Munich won their third straight Bundesliga title thanks to Wolfsburg's 1-0 loss to Borussia Monchengladbach.
Pep Guardiola's side beat Hertha Berlin 1-0 on Saturday to put them within sight of the title.
Wolfsburg had to beat Gladbach to make Bayern wait another week for a 24th Bundesliga title and 25th overall championship, but lost to a Max Kruse goal. The Bundesliga started in 1963.
Bayern are still in the Champions League and German Cup semis.
They will have little time to celebrate this success as they face rivals Borussia Dortmund in the last four of the domestic cup on Tuesday.
Bayern are bidding for their third consecutive domestic double, and second treble in three years.
Guardiola has won five domestic titles in his six years as a manager; three out of four with Barcelona and now two in two for Bayern.
The Bavarians face Barca in the Champions League semi-finals in May.
Chairman Karl-Heinz Rummenigge said: "Retaining the title is a magnificent achievement. All credit to the coach and the team. They've been fantastic throughout, in a season following a World Cup where we had a host of players in action.
"We'll have a magnificent party at some stage, no worries. But all in good time. When we do, it'll be a huge celebration."

Saturday 25 April 2015

MATOKEO EPL LEO/ EPL RESULTS

Gossip: De Gea, Sturridge, Depay, Gestede, Koeman, Rooney


Independent
The Independent focuses on the Championship promotion race on its sports pages


Daily Star
Saturday's back page lead story in the Daily Star

TOP GOSSIP
Manchester United have offered goalkeeper David De Gea a new contract worth £200,000 a week, to keep him from moving to Real Madrid. (Daily Star) 
United are close to securing a £20.5m deal to sign Borussia Dortmund's 24-year-old midfielder Ilkay Gundogan. (Daily Mail) 
Midfielder Joey Barton, 32, believes team spirit will keep QPR in the Premier League, but has still described them the as "worst team" in the division. (Sky Sports) 
PSV Eindhoven striker Memphis Depay flew into Manchester Airport for secret talks with Liverpool on Thursday after the Reds were given permission to speak to the 21-year-old Netherlands international. Manchester United have also contacted PSV about Depay. (Daily Mirror) 
Liverpool boss Brendan Rodgers has placed some doubt over 25-year-old Daniel Sturridge's status as Liverpool's first-choice striker by saying the club must sign a consistent goalscorer this summer. (Guardian) 
Rodgers insists keeping midfielder Adam Lallana fit is key to Liverpool's hopes of success after the 26-year-old England international suffered an injury-plagued first season at Anfield. (Liverpool Echo) 
Derby manager Steve McClaren has said for the first time that he was approached by Newcastle officials in January to take over as manager. (Independent) 
Southampton manager Ronald Koeman, 52, says not even Barcelona, the club he won four La Liga titles with as a player, could entice him away from St Mary's. (Daily Telegraph) 
Former Arsenal midfielder Ray Parlour says Chelsea goalkeeper Petr Cech, 32, should be first on manager Arsene Wenger's shopping list this summer. (London Evening Standard) 
Manchester City manager Manuel Pellegrini says Yaya Toure's agent Dimitri Seluk has become a problem for Manchester City. (Daily Mirror) 
Phil Jagielka believes Wayne Rooney's deep-rooted love of Everton inhibits his game whenever he returns to Goodison Park. (Daily Express) 
Blackburn striker Rudy Gestede, 26, has set his sights on a move to the Premier League after Rovers missed out on the Championship play-offs. (Sun - subscription required) 
Tottenham will have to pay at least £2.5m to get forward Emmanuel Adebayor off the payroll this summer. Adebayor, 31, is free to leave White Hart Lane this summer, but still has a year remaining on his £100,000-a-week contract. (Daily Telegraph) 
Brentford's 52-year-old manager Mark Warburton, who is leaving the club at the end of the season even if the Bees secure promotion to the Premier League, says he has yet to receive any job offers. (Talksport) 
West Brom manager Tony Pulis says chairman Jeremy Peace is hoping to find a buyer for the club before a certain date, otherwise he will remain committed to Albion. (Birmingham Mail)  
Everton midfielder Gareth Barry has advised 21-year-old team-mate Ross Barkley to resist any overtures from Manchester City this summer. (Times - subscription required) 

BEST OF SOCIAL MEDIA

Arsenal defender Per Mertesacker, 30, has sent a message of support to his Germany team-mate Holger Badstuber, who may miss the start of next season after suffering another thigh injury. "Get well soon Badstuber, you are strong!!!" Mertesacker wrote on Twitter. 
QPR forward Charlie Austin has tweeted  a good luck message to leaders Poole Town, one of his former clubs, who entertain second-placed Corby Town in the Southern League Premier on Saturday. "Good luck Poole Town FC, tomorrow hope you can get the point you need to get promoted," the 25-year-old wrote.

AND FINALLY

Rock legend Sting and actor Jimmy Nail are backing the boycott against Newcastle owner Mike Ashley. (Sun - subscription required) 
Manchester United winger Ashley Young, 29, is known for being the resident DJ in the Red Devils' dressing room, but he says he has to adhere to strict orders from manager Louis van Gaal to play only house and funky house music. (Daily Mail) 

Ilkay Gundogan to sign Manchester United contract this weekend

orussia Dortmund midfielder Ilkay Gundogan will sign a contract with Manchester United this weekend.
This is according to Sky Sports Germany, who broke the news on Friday night that the deal to take the Germany international to Old Trafford is in place.
German newspaper Der Western reported earlier today that Manchester United were poised to sign the 24-year-old midfielder in a €30 million deal this summer, but it seems the deal could be effectively completed over the course of this weekend.
Gundogan was widely regarded as one of the world’s best central midfielders during the 2012-13 campaign, when Borussia Dortmund reached the Champions League final.
German newspaper Der Western reported earlier today that Manchester United were poised to sign the 24-year-old midfielder in a €30 million deal this summer, but it seems the deal could be effectively completed over the course of this weekend.
Gundogan was widely regarded as one of the world’s best central midfielders during the 2012-13 campaign, when Borussia Dortmund reached the Champions League final.
The technically-gifted midfielder, who was born in Germany to Turkish parents, was magnificent for Jurgen Klopp’s side and was subsequently linked with a move to several of the world’s biggest clubs - including the Red Devils - in the summer of 2013.

Memphis Depay hugely impressed after Liverpool meeting

Memphis Depay flew to Manchester on a private jet for a secret meeting with Liverpool over a potential summer transfer, reports The Mirror.
It was initially reported that the PSV Eindhoven starlet had flown to Manchester to meet with officials from Manchester United but it is now believed he met with Liverpool's managing director Ian Ayre.
PSV granted Liverpool permission to discuss personal terms with Depay after the Reds declared their interest in making a formal offer once the summer transfer window opens.
The 21-year-old was hugely impressed with what Liverpool had to say. Not only was it their commitment to signing him, but their project under Brendan Rodgers that left Depay excited.
Manchester United have been strongly linked with a move for the man dubbed the next Cristiano Ronaldo with Louis van Gaal having previously worked with him for the Holland national squad.
Best chance
While Old Trafford remains the most likely destination for Depay, Liverpool have given themselves the best chance of beating them to his signature with this positive round of talks.
Paris Saint-Germain are also believed to have held talks with the forward, but it seems those around him are keen to see him move to the Premier League.
Recommendation
Both Bolo Zenden and Dirk Kuyt have recommended a move to Liverpool, but Depay will still wait for Manchester United to make an offer before choosing his next destination.
PSV will be looking for around £20m for Depay, who is favourite to seal the Eredivise golden boot after scoring 21 goals so far this season.
Rodgers wants Depay to help convince Raheem Sterling that Liverpool is the best place for young players, but also sees a need to find a greater source of goals after losing Luis Suarez to Barcelona last summer.

Friday 24 April 2015

EPL COMING FIXTURES

Tue 28 Apr 2015 - Premier League
  • Hull v Liverpool 19:45
Wed 29 Apr 2015 - Premier League
  • Leicester v Chelsea 19:45

UEFA CL; ITS BARCELONA VS BAYERN, JUVENTUS VS REAL MADRID

Barcelona have been drawn against Pep Guardiola's Bayern Munich in the Champions League semi-finals.
The other last-four tie sees Juventus - in their first semi-final since 2003 - face Carlo Ancelotti's Real Madrid, the defending champions.
The first legs will be played on 5 and 6 May, with the return matches a week later.
In the Europa League, holders Sevilla face Fiorentina, while Rafael Benitez's Napoli are up against Ukraine's Dnipro.
Bayern boss Guardiola won 14 trophies as a manager - including the Champions League in 2009 and 2011 - during four years at Barcelona.
He has reached the Champions League semi-finals in each of his six seasons as a manager, four with Barca and now two with Bayern.
The Catalan said: "Everyone understands how special this game is for me, for [midfielder] Thiago and my staff.
"Barcelona was our life. Barcelona is my home.
"Barcelona are the best team at the moment. I am not surprised. He (Luis Enrique) has a lot of quality. He is a great guy and I am happy I will be facing him."
Real Madrid
Real beat Juventus in the 1998 Champions League final
Ancelotti will also be reunited with one of his former clubs, with the Italian having managed the Turin side from 1999 to 2001.
The draw leaves open the possibility of a Barcelona v Real Madrid European Cup final, something which has never happened before. The arch-rivals are also battling it out for the Spanish league title this season.
Real Madrid reached the last four by beating city rivals Atletico - in a repeat of last season's final - thanks to Javier Hernandez's late goal.
Bayern Munich thrashed Porto 6-1 at home to overturn a first-leg deficit and progress 7-4 on aggregate.
Things were more straightforward for Barcelona, who beat Paris St-Germain 5-1 overall, and Juventus, who beat Monaco 1-0 over two legs.
This season's final will be played at Berlin's Olympic Stadium on Saturday, 6 June.
The Europa League draw leaves the possibility of an all-Serie A final. There have been four all-Italian Uefa Cup finals, but none since the tournament was rebranded in 2009.
The first legs of the semi-finals will be played on Thursday, 7 May with the return matches a week later.
The final is in Warsaw's National Stadium on Wednesday, 27 May.

Thursday 23 April 2015

Sergio Ramos is Real Madrid's true talisman and five things we learned from the Champions League

The inspirational leader converted into a midfield role to take care of Atletico and has stepped up once again in Europe when his team really needed him
By Paul Macdonald

Real Madrid qualified for their fifth Champions League semi-final in succession after a gruelling, steadfast performance against an Atletico Madrid team that refused to die.

It's widely accepted that the result offered a stay of execution for Carlo Ancelotti, but for all the talk of the role of the coach it was Sergio Ramos who stepped up to drag this side through to the last four, whether they liked it or not.

There should be no remaining doubt - Ramos is not only a fantastic defender, but also a superb footballer and a leader of men. At the age of 29 he has achieved everything in football twice over and were it not for Spain's underperformance at the World Cup in Brazil he would have been in consideration for the Ballon d'Or.

On Wednesday, against an Atleti team characteristically confident and abrasive in equal measure, he slotted into central midfield and gave as good as he got. He made more passes than anyone, was fouled more than anyone and consequently dished out more fouls than anyone. He was a force of nature and that's exactly what Madrid required to break their barren run of seven games without a win against a side that felt they had the measure of them.

Too often the negatives are highlighted with Ramos; his dubious disciplinary record and his penchant for play-acting (as witnessed in the Arda Turan dismissal) are flaws, no question. But every Madridista inside the Santiago Bernabeu and beyond was with him in every surge, slide and shout as he took the game to Atleti and stood up to their aggression head on.

Chicharito forced the ball over the line and Cristiano Ronaldo laid it on a plate for him. But the platform for victory came from Ramos, just as it had in the semis and final last season. He is Madrid's true talisman in this competition and he will excrete every ounce of sweat to take La Decima a single digit further.
Pep Guardiola is controlling - so what?


It seems as if there is a significant majority waiting for the moment when they can throw stones at the man who has been ordained as modern football's pre-eminent thinker. Pep Guardiola has many converts in his congregation but the riposte from those desperate to watch him fail has led to, as he openly admits, 'his most difficult spell' since arriving at Bayern in 2013.

While curious chatter played out behind the scenes after club doctor Hans-Wilhelm Muller Wohlfahrt's very public walkout, his injury-ravaged team got to business and destroyed Porto in a devastating opening salvo, ultimately winning 6-1 on the night. Suddenly, from a position of crisis, Bayern are safely into the last four and can clinch the Bundesliga title this weekend.

Still, respected figures at Bayern seem a little unsure of attaching themselves to Pep. Club legend Stefan Effenberg stated this week that giving the former Barca boss 'too much power' would be 'dangerous for the future of Bayern.'

It's important, then, to ask why they acquired him in the first place. Guardiola revolutionised Barca, removing troublesome elements such as Ronaldinho and Deco, while building a team around his La Masia graduates and detailing a very specific style of play.

He has done precisely the same at Bayern, with the difference being that while Barca required total re-assessment after the non-compliant end to Frank Rijkaard's reign, Bayern had just clinched the treble. But of course Guardiola was going to demand things his way; every great manager is very specific in the detail, from Sir Alex Ferguson ensuring Old Trafford was an uncomfortable experience for journalists, to Jose Mourinho's obsessive-compulsive dossiers on opposition teams, players and managers.

Pep craves ultimate control and his record suggests that everyone else should shut up and let him get on with it. Six seasons in management, six Champions League semi-finals. The aberration against Madrid last season weighs heavily on his mind. He will not forget it and will not allow it to happen again. Quite simply Pep is the man best equipped to return the title to Bavaria for the sixth time. If he is difficult, if he is imposing, as long as he is successful, what does it matter?
PSG may be forced to sack a treble-winner in Blanc


Two years on from their last meeting at the quarter-final stage of the Champions League, Barcelona got the better of Paris-Saint Germain once again. But the manner of the exits suggest that the French side aren't closing the gap on the elite - on the contrary, it's widening.

In 2013 PSG showed fight, desire and, above all, quality to bounce back from Xavi's late penalty in the first leg and equalise through Blaise Matuidi in injury time. In the second leg, with Lionel Messi carrying a knock, few impartial observers could dispute that PSG were the better side and were only undone by the away goals rule.

Simba washinda kwa kishindo, Okwi akidhihirisha yeye ni tegemeo

Katika mchezo wa leo mshambuliaji wakimataifa kutoka nchini Uganda Emmanuel Okwi, alifunga hat-trick ya kwanza tangu arejee kwenye timu hiyo akitokea kwa wapinzani wao Yanga
LICHA ya kupata ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya Mgambo JKT leo kwenye uwanja wa taifa Dar es Salaam lakini kikosi cha Simba kina nafasi ndogo ya kumaliza ligi ya msimu huu nafasi ya pili ili iweze kushiriki michuano ya Kombe la Shirikisho 2015.
Ushindi wa leo unaifanya Simba kufikisha pointi 38 huku ikiendelea kubaki nafasi ya pili huku ikiwa imebakiwa na michezo miwili kabla ya kumaliza msimu huu.
Katika mchezo wa leo mshambuliaji wakimataifa kutoka nchini Uganda Emmanuel Okwi, alifunga hat-trick ya kwanza tangu arejee kwenye timu hiyo akitokea kwa wapinzani wao Yanga.
Baada ya kupoteza mchezo uliopita kwa kufungwa mabao 2-0 na Mbeya City kwenye uwanja wa Sokoine Mbeya Simba iliuanza mchezo wa leo kwa kasi na kuandika bao la kwanza dakika ya nane mfungaji akiwa Emmanuel Okwi aliye unganisha krosi ya winga Ramadhani SIngano.
Okwi aliyeukosa mchezo wa Mbeya City, nyota yake ilingara vilivyo kwenye mchezo wa leo baada ya dakika ya 12 kumtengenezea nafasi nzuri mshambuliaji Ibrahim Ajibu lakini kabla mshambuliaji huyo hajapiga kipa wa Mgambo Godson Mmasa aliuwahi mpira huo na kuudaka.
Simba waliendelea kuutawala mchezo huo na dakika tatu baadaye Ramadhan Singano, aliifungia Simba bao la pili dakika ya 15 baada ya kupiga kona iliyoingia yenyewe wavuni na kuzidi kuwavunja nguvu Mbambo ambao katika mchezo wa awali waliifunga Simba mabao 2-0 kwenye dimba la Mkwakwani Yanga.
Baada ya kufungwa bao hilo vijana wa Mgambo walionekana kutulia na kupanga vyema mashambulizi yao kwenye lango la Simba na mara kadhaa washambuliaji Malimi Busungu na Fully Maganga walipoteza nafasi za wazi walizozipata.
Katika dakika ya 34 beki wa Mgambo JKT Ramadhani Maliwa alionyeshwa kadi ya njano na mwamuzi Odongo kwa kumchezea vibaya Okwi na mchezaji huyo kulazimika kutolewa nje kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
Okwi alirejea uwanjani na dakika ya 42 akaifungia Simba bao la tatu baada ya kutumia uzembe wa mabeki wa Mgambo Bashiru Chanache aliyekuwa ameingia muda mchache kuchukua nafasi ya Abuu Daud na Novatus Lufunga.
Dakika moja kabla timu hazijakwenda mapumziko mshambuliaji wa Mgambo Fully Maganda alipoteza nafasi ya wazi akiwa amebaki na nyavu za lango la Simba lakini cha kushangaza mpira alioupiga uliokolewa na beki wa Simba Juuko Murshid na kufanya timu hizo kwenda mapumziko Simba ikiwa mbele kwa mabao 3-0.
Kipindi cha pili Simba walikianza tena kwa kasi na iliwachukua dakika tano kuandika bao la nne likifungwa na Okwi tena baada ya kupokea pasi nzuri kutoka kwa Ibrahim Ajibu na kumlamba chenga kipa wa Mgambo na kufunga kirahisi.
Kocha Goran Kopunovic wa Simba aliwapumzisha Ibrahim Ajibu na Ramadhani Singano na nafasi zao kuchukuliwa na Issa Abdallah na Simon Sserunkuma wakati Bakari Shime wa Mgambo aliwatoa Abuu Daud, Mohamed Samatta na nafasi zao kuchukuliwa na na Sabri Makame na Ayoub Saleh.

Wednesday 22 April 2015

BARCELONA BEAT PSG 2-0 TO REACH UEFA SEMI FINAL

"Defensively, we weren't up to the challenge in either game, and we didn't have the scoring punch in attack."
Neymar was completely unmarked as he headed in Barcelona's second
Neymar was completely unmarked as he headed in Barcelona's second
Lionel Messi
Lionel Messi was relatively subdued, compared to his usual standards
Zlatan Ibrahimovic and Xavi
Zlatan Ibrahimovic was able to enjoy his renuion with former Barca team-mate Xavi, despite the result

BAYERN 6 PORTO 1

Thomas Muller
Muller is now the highest-scoring German in the history of the Champions League, with 27 goals
Robert Lewandowski
Robert Lewandowski's first goal came after a 2014-15 tournament record 26 consecutive passes
FC Porto
Porto's players were stunned by Bayern's first-half dominance
Pep Guardiola
Pep Guardiola has now reached the semi-finals in each of his six years as a coach
Bayern players
Bayern are still in the running for the treble

Monday 13 April 2015

ULIMISS MATOKEO YA BARCLEONA LEGENGS VS TANZANIA LEGENDS? BARCELEONA LEGENDS BEAT TANZANIA LEGENDS 2-1

TIMU ya wachezaji wakongwe wa Barcelona imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wakongwe wa Tanzania ‘Tanzania Stars katika mchezo wakirafiki wa kimataifa uliofanyika kwenye uwanja wa taifa Dar es Salaam.
Mshambuliajia Luis Garcia ndiye aliyekuwa wa kwanza kuifungia bao la kuongoza Barcelona dakika ya tisa baada ya kuunganisha kwa kichwa krosi ya Kluivert na kumwacha kipa Peter Manyika akiusindikiza kwa macho mpira.
Wakongwe wa Tanzania Stars walijitahidi kufanya mashambulizi kwenye lango la Barcelona na dakika ya 44 Yusufu Macho aliisawazishia timu yake bao hilo kwa shuti kali baada ya kuunganisha mpira uliokuwa umeokolewa na mabeki wa Barcelona.
Hadi mapumziko timu hizo zilikuwa sare ya 1-1 huku wageni Barcelona wakiutawala zaidi mchezo huo kwa kufanya mashambulizi mengi.
Kipindi cha pili Barcelona, walikianza kwa kasi na kufanya mashambulizi mfululizo kwenye lango la Tanzania Stars na washambuliaji wake Simao Sambrosa na Luis Garcia wakapoteza nafasi nyingi walizozipata.

Match Report: Mtibwa 1- 1 Azam, Hali tete kwa Mabingwa

HALI bado ni mbaya kwa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara Azam FC baada ya jioni ya leo kulazimishwa sare ya 1-1 na Mtibwa Sugar
HALI bado ni mbaya kwa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara Azam FC baada ya jioni ya leo kulazimishwa sare ya 1-1 na Mtibwa Sugar katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Manungu Turiani Morogoro.
Matokeo hayo yanaifanya Azam kupoteza kabisa matumaini ya kutetea ubingwa wake msimu huu kwa kufikisha pointi 38 huku vinara wanaoongoza ligi hiyo Yanga wakiwa na pointi 43 na kesho wanashuka tena uwanja wa taifa Dar es Salaam kucheza na Mbeya City.
Katika mchezo wa leo Azam ndio walikuwa wa kwanza kuandika bao dakika ya 17 kupitia kwa nahodha msaidizi Himid Mao ‘Ninja’, lakini dakika tatu baadaye Musa Hassan Mgosi aliisawazishia Mtibwa Sugar.
Vijana wa kocha George Nsimbe ‘Best’ walijitahidi kupigana kwa ajili ya kupata ushindi ili angalau kuikaribia Yanga ambayo kabla ya mchezo huo ilikuwa mbele kwa mchezo mmoja lakini Mtibwa Sugar walikataa kabisa kuendeleza rekodi mbaya ya kufungwa na Azam nyumbani.
Mshambuliaji Didier Kavumbagu alipata nafasi nzuri dakika ya 68 lakini aliweza kupiga nje huku Musa Mgosi naye akashindwa kuwa na maelewana mazuri na mshambuliaji mwenzake Amme Ali na hadi mwisho matokeo kubaki sare.

Match Report:Yanga 3 – 1 Mbeya City, Yanga yaunyemelea ubingwa

Idadi ya mabao iliyoyapata Yanga leo inafanana na mchezo wa kwanza uliofanyika uwanja wa Sokoine Mbeya ambapo ilishinda mabao 3-1
KLABU ya YANGA jioni ya leo imeendeleza wimbi la ushindi kwenye mechi za Ligi ya Vodacom Tanzania bara baada ya kuifunga timu ya Mbeya City mabao 3-1.
Ushindi wa leo unaifanya Yanga kuhitaji pointi sita katika michezo mitano iliyobakiwa nayo ili kuivua ubingwa Azam FC, ambayo kwa sasa ipo nyuma kwa nane.
Idadi ya mabao iliyoyapata Yanga leo inafanana na mchezo wa kwanza uliofanyika uwanja wa Sokoine Mbeya ambapo ilishinda mabao 3-1.
Ushindi wa leo ni watano mfululizo kwa kikosi cha Yanga ambacho mara ya mwisho kilifungwa kwenye mechi za ligi ya Vodacom ilikuwa ni Machi ilipopoteza kwa bao 1-0 dhid ya Simba uwanja wa taifa Dar es Salaam.
Yanga iliuanza wa leo kwa kasi huku washambuliaji wake wakionekana wenye uchu wa mabao kama ilivyokuwa Jumatano iliyopita walipoifunga Coastal Union ya Tanga mabao 8-0. Mshambuliaji raia wa Liberia alikuwa kwenye kiwango cha juu leo aliifungia Yanga bao la kwanza dakika ya 18 akiunganisha pasi ya Amissi Tambwe.
Hilo ni bao la pili kwa Sherman aliyesajiliwa na Yanga kwenye dirisha dogo msimu huu akitokea Citinkaya TSK ya Cyprus, baada ya Jumatano kufunga bao lake la kwanza kwenye ushindi wa 8-0.
Bao hilo liliongeza kasi ya mchezo kwa timu zote mbili lakini kiungo mkabaji Salum Telela, aliifungia Yanga bao la pili dakika ya 37 baada ya kupiga shuti kali lilowababatiza mabeki wa Mbeya City na kumpoteza kipa Hanington Kalyesubula. Mbeya City ambao Jumatano iliyopita walitoka sare ya 1-1 na Azam FC kwenye uwanja wa Azam Complex, walikuja juu na kufanikiwa kupata bao dakika ya 39, akiunganisha pasi ya Raphael Alpha.

Dakika nne baada ya kuanza kipindi cha pili nahodha wa Yanga, Nadir Haroub aliifungia timu yake bao la tatu akiunganisha kwa kichwa mpira wa adhabu ndogo uliokuwa umepigwa na Haruna Niyonzima dakika ya 49. Mbeya City ambayo inashiriki msimu wapili mfululizo ligi ya Vodacom Tanzania bara ililazimika kucheza pungufu baada ya mwamuzi Mathew Akrama wa Mwanza kumtoa kwa kadi nyekundu Felix kwa kumchezea rafu Telela katika dakika ya 53.

Rafu hiyo ilimfanya Telela kushindwa kuendelea na mchezo na kulazimika kutolewa nje na nafasi yake kuchukuliwa na Hassan Dilunga katika dakika ya 61.

Dakika ya 21, Sherman alikosa bao baada ya shuti lake kupanguliwa na kipa wa Mbeya City, Kalyesubula. Paul Nonga wa Mbeya City alikosa bao katika dakika ya 32 baada ya shuti lake kupaa juu. Amissi Tambwe alikosa bao katika dakika ya 42 baada ya shuti lake kutoka nje.

WACHEZAJI YANGA WAPEWA TUZO NA MASHABIKI WA FACEBOOK

WACHEZAJI wa Yanga, Haruna Niyonzima, Mrisho Ngassa na kipa Deogratius Munishi ‘Dida’ wapewa zawadi za pekee na mashabiki
WACHEZAJI wa Yanga, Haruna Niyonzima, Mrisho Ngassa na kipa Deogratius Munishi ‘Dida’ wapewa zawadi za pekee kwa kuiwezesha timu hiyo kushika nafasi ya pili katika Ligi Kuu msimu uliopita.
Wachezaji hao pamoja na wenzao na benchi la ufundi walikabidhiwa zawadi hizo na mashabiki wa Tawi la Facebook lenye makao yake Buguruni jijini Dar es Salaam leo ikiwa ni baada ya kumaliza mazoezi ya asubuhi kwenye Uwanja wa Karume,
Mwenyekiti wa Tawi la Facebook, Josephat Sinzobakwila ameiambia Goal kuwa wao kama mashabiki, wanafurahi kuona timu ikishinda, lakini pia wanahuzunika kuona timu ikifungwa hivyo ili kuongeza morali wameamua kutoa zawadi.
“Tunahuzunika kama ninyi mnavyohuzunika mnapofungwa, lakini pia tunafurahi kama ninyi mnaposhinda hivyo tumekuja hapa ili kuongeza morali kwa kuwapa zawadi hizi za saa kwa wachezaji wote na kinyango chenye picha ya mtu kwa wachezaji watatu waliofanya vizuri msimu uliopita”, alisema Sinzobakwila.
Sinzobakwila amesema Ngassa alifunga mabao sita kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Niyonzima amekuwa mchezaji wa kigeni aliyedumu Yanga muda mrefu kupita wengine na Dida alidaka mchezo kati yao na Azam FC na kuifunga timu hiyo ambayo baadaye ilitwaa ubingwa kwa msimu wa 2013/14.
Hivyo wameona kutoa zawadi pekee kwa wachezaji hao watatu ambazo ni kinyago chenye picha ya mtu na mabango yenye picha zao wakiwa uwanjani.
Ukiachia zawadi ambazo ni maalumu kwa Ngassa, Niyonzima na Dida, wachezaji wengine wote wa kikosi cha Yanga alipewa zawadi ya saa ya ukutani yenye jina lake huku ndani ikiwa na nembo ya Yanga kama ukumbusho.
Baada ya makabidhiano hayo kiungo wa kimataifa raia wa Rwanda Haruna Niyonzima aliiambia Goal anashukuru kwa mashabiki hao kutambua mchango wake kwenye Klabu ya Yanga na kuwaahidi kuendelea kuwapa raha, lakini aliwataka kufahamu kuna bahati mbaya kwa mchezaji kushindwa kufunga bao hivyo wawe wavumilivu inapotokea hali hiyo.

English Premier League As It Stood Table

Last updated 12 Apr 2015 UK


Position Team Played Goal Difference Points
No movement 1 Chelsea 31 38 73
No movement 2 Arsenal 32 31 66
No movement 3 Man Utd 32 29 65
No movement 4 Man City 32 31 61
No movement 5 Southampton 32 22 56
No movement 6 Liverpool 31 9 54
No movement 7 Tottenham 32 4 54
No movement 8 Swansea 32 -2 47
No movement 9 West Ham 32 2 43
No movement 10 Stoke 32 -4 43
No movement 11 Crystal Palace 32 -1 42
No movement 12 Everton 32 -3 38
No movement 13 Newcastle 31 -16 35
No movement 14 West Brom 32 -16 33
No movement 15 Aston Villa 33 -21 32
No movement 16 Sunderland 32 -23 29
No movement 17 Hull 32 -16 28
No movement 18 QPR 33 -21 26
No movement 19 Burnley 32 -24 26
No movement 20 Leicester 31 -19 25

ENGLISH PREMIER LEAGUE WEEKEND RESULTS

Sun 12 Apr 2015 - Premier League
Sat 11 Apr 2015 - Premier League

QPR 0 CHELSEA 1 IN PHOTOS

"It was a good derby and I enjoyed it. I would love to come back here to play in the Premier League next season."-Jose Morinho
Branislav Ivanovic
Branislav Ivanovic was hit by something thrown from the crowd
QPR v Chelsea
Some of the items which were thrown on to the pitch
Thibaut Courtois
Thibaut Courtois made a number of fine saves to keep Chelsea in the game
QPR v Chelsea
QPR extended their worst ever losing run of home league games to six matches

EPL RESULT: BURNLEY 0 ARSENAL 1

Aaron Ramsay Arsenal
Ramsey finished the move after blocked efforts from Alexis Sanchez, Olivier Giroud and Mesut Ozil
Kieran Trippier Burnley
Burnley had chances from set-pieces but were unable to beat Arsenal keeper David Ospina
Sean Dyche Burnley
Burnley manager Sean Dyche inspired a much-improved performance from his team in the second half

MANCHESTER UNITED 4 VS MAN CITY 2 IN PHOTOS

David de Gea
It was only the third time United have scored more than four goals in a Premier League derby
Wayne Rooney
Wayne Rooney has now assisted 90 goals in the Premier League
Sergio Aguero
Sergio Aguero scored his 100th goal for Manchester City in his 158th game for the club
Sir Alex Ferguson
Ex-Manchester United manager Sir Alex Ferguson watched alongside Simply Red singer Mick Hucknall 
  • Man Utd go four points clear of City
  • City have lost six of last eight games
  • Aguero scores 100th City goal
Manchester United ended a dismal derby sequence and piled the pressure on Manuel Pellegrini as his Manchester City side were well beaten at Old Trafford.
City, attempting to recover from successive away defeats at Liverpool, Burnley and Crystal Palace, made a blistering start and took an early lead through Sergio Aguero.
It was all downhill from then on for the fading Premier League champions as Ashley Young and the revitalised Marouane Fellaini put United in front before half-time.
Louis van Gaal's side never looked like surrendering the advantage as they secured a sixth straight Premier League win with further goals from Juan Mata and Chris Smalling.